Sunday, January 24, 2016

Membe: Magufuli asiwaendee pupa wafanyabiashara

Aliyekuwa waziri wa Mambo ya nje Mh. Membe ameonya kuwa wafanyabiashara wasiendewe kwa pupa.

Ametanguliza kuwa anaunga mkono mikakati ya ukusanyaji kodi lakini isiwe katika hali ya kukatisha tamaa na kudidimiza uchumi.

Membe ameonya hayo kufuatia malalamiko ya wafanyabiashara kulalamika kuwa baadhi ya mikakati inaelekea kuwadidimiza.

Haya yameandikwa katika magazeti ya leo

No comments: