Sunday, January 24, 2016

Ubaguzi wa rangi kwenye kubeba boksi Ulaya

Hii hali sometimes inanisikitisha sana na inanifanya nitamani homu. Kamwe muafrika mweusi hatutaheshimiwa. Black person is the most least respected person.

Kuna ubaguzi sana wa rangi Scandinavia hata kwenye kuajiri low skilled or unskilled labour ama ubebaji boksi. Hawa jamaa wako comfortable sana kufanya kazi na more light skinned person. Inawachukua mda mrefu sana kumuamini nigga kazini.

Mimi niko active kwenye gemu toka mid 2009 wananipenda ndio na kuniamini lakini hii mentality yao towards black people kwenye kubeba boksi kamwe haitaisha na inaniuma.

Ila siwalaumu sana utakuta wengi hawajasafiri barani au ni mentality waliozaliwa nayo na kulelewa na wazazi wao. Pia manigga kazini ethics za kazi ni zero wizi wizi kutongoza bila mpangilio uvivu kulalamika.

Wanepali Bangladeshi Vietnamese chinese n.k wanatupa upinzani mkubwa.

No comments: